Welcome note
Prof Ibrahim H. Juma
ChairmanKwa niaba ya Menejimenti na watumishi wote wa Tume ya Utumishi wa Mahakama,ninayo furaha kuwakaribisha kwenye Tovuti yetu mpya ambayo imetengenezwa kwa lengo la kuufahamisha Umma juu ya kazi zinazofanywa na Tume ya Utumishi wa Mahakama ikiwemo uwepo wa Kamati za Maadili ngazi za Mikoa na Wilaya zinazofanya kazi kwa ufanisi mkubwa na mwananchi yeyote mwenye malalamiko yanayohusiana na Maadili asisite kuwasilisha malalamiko yake kwa maandishi.
Imetolewa na:-
Prof Ibrahim Juma,
Mwenyekiti Tume ya Utumishi wa Mahakama.