• SALAMU ZA PONGEZI

    Makamishna wa Tume, Menejimenti na Watumishi Tunakupongeza kwa kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Tunakutakia Kila la Kheri.

    Posted on: 14th Jun, 2025

  • SALAMU ZA PONGEZI

    Makamishna wa Tume, Menejimenti na Watumishi Tunakupongeza kwa kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama, Tunakutakia Kila la Kheri.

    Posted on: 14th Jun, 2025

  • UTEUZI WA JAJI MKUU WA TANZANIA

    Rais amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania Mhe. George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.

    Posted on: 13th Jun, 2025

  • WAJUMBE KAMATI ZA MAADILI MKOA WA DODOMA WAAPISHWA

    JAJI MFAWIDHI DODOMA AWAAPISHA WAJUMBE WA KAMATI ZA MAADILI MKOA WA DODOMA

    Posted on: 11th Jun, 2025

  • TUME SUMBAWANGA

    Makamishna wa Tume wakiwa ziarani Sumbawanga

    Posted on: 02nd Jun, 2025

  • TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA YAFANYA ZIARA MIKOA YA KATAVI NA RUKWA

    Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ataka Mashauri ya uchaguzi kumalizika kwa wakati

    Posted on: 28th May, 2025