-
SALAMU ZA PONGEZI
Makamishna wa Tume, Menejimenti na Watumishi Tunakupongeza kwa kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama. Tunakutakia Kila la Kheri.
Posted on: 14th Jun, 2025
-
SALAMU ZA PONGEZI
Makamishna wa Tume, Menejimenti na Watumishi Tunakupongeza kwa kuteuliwa kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ya Utumishi wa Mahakama, Tunakutakia Kila la Kheri.
Posted on: 14th Jun, 2025
-
UTEUZI WA JAJI MKUU WA TANZANIA
Rais amemteua Jaji wa Mahakama ya Rufani ya Tanzania Mhe. George Mcheche Masaju kuwa Jaji Mkuu wa Tanzania.
Posted on: 13th Jun, 2025
-
WAJUMBE KAMATI ZA MAADILI MKOA WA DODOMA WAAPISHWA
JAJI MFAWIDHI DODOMA AWAAPISHA WAJUMBE WA KAMATI ZA MAADILI MKOA WA DODOMA
Posted on: 11th Jun, 2025
-
TUME SUMBAWANGA
Makamishna wa Tume wakiwa ziarani Sumbawanga
Posted on: 02nd Jun, 2025
-
TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA YAFANYA ZIARA MIKOA YA KATAVI NA RUKWA
Jaji Mkuu wa Tanzania na Mwenyekiti wa Tume ataka Mashauri ya uchaguzi kumalizika kwa wakati
Posted on: 28th May, 2025