MKURUGENZI WA HUDUMA ZA TAASISI AKIZUNGUMZA NA WAOMBAJI WA NAFASI ZA KAZI KADA YA DEREVA.


Mkurugenzi wa huduma za Taasisi Tume ya Utumishi wa Mahakama,Ndugu Rickneville Mwanri akizungumza na waombaji wa nafasi za kazi Kada ya Dereva mara baada ya Usaili kwa njia ya Kieletroniki uliofanyika katika chuo cha Uhasibu ( Dar es salaam) leo tarehe 22 Disemba, 2025.