USAILI AWAMU YA PILI KADA YA HAKIMU MKAZI II


Usaili wa awamu ya pili wa waombaji  kazi  kada ya Hakimu Mkazi II umeendelea kufanyika leo tarehe 07 Januari, 2025, katika Ukumbi wa Mikutano wa Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki (Ndoa na Mirathi)Temeke, Dar es salaam.