• NAIBU WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA ATEMBELEA TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA

    Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Jumanne Abdalah Sagini lametembelea Ofisi za Tume ya Utumishi wa Mahakama jijini Dar es salaam na kuzungumza na Watumishi wa Sekretariet ya Tume.

    Posted on: 23rd Sep, 2024

  • UJENZI WA JENGO LA TUME

    Ujenzi wa JengolaOfisi za Tume ya Utumishi wa Mahakama unaoendelea jijini Dodoma sasa umefikia asilimia 96.

    Posted on: 19th Aug, 2024

  • SABASABA NA ELIMU KWA UMMA

    Watumishi wa Sekretarieti ya Tume ya Utumishi wa Mahakama watoa elimu

    Posted on: 09th Jul, 2024

  • USAILI

    USAILI TUME

    Posted on: 24th Mar, 2024

  • UJENZI WA JENGO LA TUME YA UTUMISHI WA MAHAKAMA DODOMA WASHIKA KASI DODOMA

    Ujenzi wa Jengo la Tume ya Utumishi wa Mahakama umefikia asilimia 43. Jengo hilo linatarajiwa kukamilika ifikapo mwezi Julai, 2023

    Posted on: 15th May, 2023

  • KAMATI YA BUNGE YAIPONGEZA TUME KWA KUFANYA USAILI KIELEKITRONIKI  

    Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria wakiwa kwenye Mafunzo kuhusu Muundo na Majukumu ya Tume ya Utumishi wa Mahakama yaliyofanyika Tarehe 19, April, 2023 jijini Dodoma.

    Posted on: 19th Apr, 2023